UTNC.ORG, Union of Tanzanians, North Carolina


Go to content

About Us

About Us

Union of Tanzanian North Carolina ilianzishwa rasmi 2004 na kusajiliwa mwaka 2005, kama Non-Profit Organization .Umoja huu umeundwa kwa lengo la kumnufaisha Mtanzania mkazi wa North Carolina na marafiki, kiafya, kiuchumi, kielimu, kitamaduni na kijamii. Kujenga uwakala bora wa nchi ya Tanzania katika jimbo la North Carolina. Kushiriki katika maendeleo ya kijamii, Na kuimarisha mila na desturi za Kiswahili.
Muongozo wa UTNC unasimamiwa na Katiba iliyosajiliwa chini ya Katibu ya Serikali ya jimbo la North Carolina.

UTNC ni Jumuiya isiyo ya kidini, kisiasa, kikabila, kibiashara, kirangi wala kijinsia. UTNC imekusudia kukuza mahusiano na Jumuiya zinazofungamana kikatiba.

Home Page | About Us | Events | Links | Projects | Summit | Site Map


Sub-Menu:


Back to content | Back to main menu